Tuesday, December 29, 2015

ZIARA YA WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA MKOANI KIGOMA

 Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akizindua soko na Mwaro wa samaki wa Kibirizi mjini Kigoma Desemba 28 , 2015.Kushoto ni Mkuu wa Mkoa huo Issa Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akizindua soko na Mwaro wa samaki wa Kibirizi mjini Kigoma Desemba 28 , 2015.Kushoto ni Mkuu wa Mkoa huo Issa Machibya. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)Machibya. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
zit2
Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akikagua dagaa wanaokaushwa kitalaam kwa kutumia jua  wakati  alipozindua soko na mwaro wa kisasa wa samaki wa Kibirizi  mjini Kigoma Desemba 28, 2015. (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)
zit5
Mkazi wa Kigoma mjini akionyesha bango katika mkutano uliohutubiwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kwenye soko la samaki la Kibirizi mjini Kigoma Desemba 28, 2015.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
zit6
Waziri Mkuu, Kassim  Majaliwa  akipata maelezo kutoka kwa mkuu wa mkoa wa Kigoma, Issa Machibya kuhusu bunduki iliyokatwa ili kupunguzwa urefu ambayo ilikamatwa na polisi mkoani Kigoma wakati ilipotumika katika uhalifu. Mheshimiwa Majaliwa alikwenda kwenye Ofisi ya  Kamanda  wa polisi wa Mkoa wa Kigoma kukagua silaha mbalimbali zilizokamatwa na polisi  Desemba 28, 2015.. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
zit7
Waziri Mkuu, Kassim Majliwa  akitazama kifaa kinachotumiwa na wahalifu kutengeneza  risasi za bunduki aina ya goboli wakati alipokagua silaha mbalimbali zilizokamatwa na polisi  mkoani Kigoma na kuhifadhiwa kwenye Ofisi ya Kamanda wa polisi wa mkoa huo, Desemba 28, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
zit8
 Watumishi wa Serikali Kuu na Serikali za Mitaa  wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majliwa  wakati alipowahutubia  mjini Kigoma Desemba 28, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
zit9
 Watumishi wa Serikali Kuu na Serikali za Mitaa  wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majliwa  wakati alipowahutubia  mjini Kigoma Desemba 28, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
zit10
Waziri Mkuu, Kassim Majliwa  akizungumza na watumishi wa  serikari Kuu na Serikali za Mitaa mjini Kigoma Desema 28, 2015. Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Issa Machibya. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments: