Wednesday, December 30, 2015

MAJALIWA ATEMBELEA KAMBI ZA WAKIMBIZI ZA NYARUGUSU NA NDUTA MKOANI KIGOMA

KAS1
KAS2
Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akizungumza na wanawake waliojifungua katika wodi ya wazazi ya hospitali ya wakimbizi katika kambi ya Nyarugusu wilayani Kaslu  akiwa katika ziara ya mkoa wa Kigoma Desemba 29, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
KAS3
Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akizungumza na wanawake waliojifungua katika wodi ya wazazi ya hospitali ya wakimbizi katika kambi ya Nyarugusu wilayani Kaslu  akiwa katika ziara ya mkoa wa Kigoma Desemba 29, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
KAS4
Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akiwapungia wakimbizi kutoka  Burundi wakati alipotembelea kambi ya Nyarugusu akiwa katika ziara ya mkoa wa Kigoma Desemba 29, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
KAS5
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na watumishi  wa mashirika mbalimbali ya kimatifa wanaowahudumia wakimbizi wa Burundi kwenye kambi ya Nyarugusu wilyani Kasulu akiwa katika ziara ya mkoa wa Kigoma Desemba29, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
KAS6
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na watumishi  wa mashirika mbalimbali ya kimatifa wanaowahudumia wakimbizi wa Burundi kwenye kambi ya Nyarugusu wilyani Kasulu akiwa katika ziara ya mkoa wa Kigoma Desemba29, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
KAS7
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiweka jiwe la Msingi la Shule ya Msingi inayojengwa kwenye kambi ya wakimbizi ya Nduta wilayani Kibondo  ambayo imepewa jina lake, Alikuwa katika ziara ya mkoa wa Kigoma Desemba 29, 2015.  Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Kibondo, Ruth Msafiri. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
KAS8
Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akiwa amekalia dawati katika moja ya madarasa ya Shule ya Msingi inayojengwa kwenye kambi ya wakimbizi ya Nduta ambayo imepewa jina lake . Alikuwa katika ziara ya mkoa wa Kigoma Desemba 29, 2015. Wapili kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Kibondo, Ruth Msafiri. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
KAS10
Watoto wa wakimbizi kutoka Burundi wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipohutubia mkutano wa hadhara kwenye kambi ya wakimbizi ya Nduta wilayani Kibondo Desemba 29, 2015. (Picha na Ofisi a Waziri Mkuu)
KAS11
Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akimkabidhi Mkuu wa Kambi ya Wakimbizi ya Nduta, Bw. Frederick Nisajile shilingi milioni 2 zikiwa ni mchango wa kusaidia programu ya upandaji miti kwenye maeneo yanayozunguka kambi hiyo. Alikuwa katika ziara ya mkoa wa Kigoma Desemba 29, 2015. Katikati ni Mkuu wa Wilaya ya Kibondo, Ruth Msafiri. (Picha na Ofisi a Waziri Mkuu)

No comments: