Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora inawatahadharisha wateja na wananchi wote kujihadhari na watu wanaotumia jina la ofisi kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu kwa kujitambulisha kuwa ni watumishi wa ofisi hii. Imebainika miongoni mwa wanaotapeli anatumia jina la James Josephat na kujifanya ni mtumishi wa masijala. Namba ya simu inayotumika kutapeli ni namba 0657 888 277. Ofisi haina mtumishi mwenye jina hilo, na huduma za ofisi hazitolewi kwa ada ya aina yoyote. Ofisi inawatahadharisha wadau na wananchi kuzingatia taratibu zilizopo na kuelewa huduma hazitolewi kwa malipo ya aina yoyote. Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Kny: Katibu Mkuu-Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala BoraThursday, December 31, 2015
TAARIFA MUHIMU KWA UMMA KUTOKA UTUMISHI
Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora inawatahadharisha wateja na wananchi wote kujihadhari na watu wanaotumia jina la ofisi kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu kwa kujitambulisha kuwa ni watumishi wa ofisi hii. Imebainika miongoni mwa wanaotapeli anatumia jina la James Josephat na kujifanya ni mtumishi wa masijala. Namba ya simu inayotumika kutapeli ni namba 0657 888 277. Ofisi haina mtumishi mwenye jina hilo, na huduma za ofisi hazitolewi kwa ada ya aina yoyote. Ofisi inawatahadharisha wadau na wananchi kuzingatia taratibu zilizopo na kuelewa huduma hazitolewi kwa malipo ya aina yoyote. Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Kny: Katibu Mkuu-Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
KAMISHNA WA UHIFADHI TANAPA AFANYA ZIARA YA KIKAZI KITUO CHA MALIKALE – MTWA MKWAWA, IHINGA, IRINGA
Kamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), CPA Musa Nassoro Kuji , amefanya ziara ya kikazi katika Kituo cha Malikale ch...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
(Picha na Yahya Charahani) Katika kijiji cha Mwanjoro, wilayani Meatu – Shinyanga, maisha bado yanapumulia kwenye nyumba za udongo na mapaa...
No comments:
Post a Comment