Tuesday, December 29, 2015

UTT AMIS YAHAMASISHA WANAVIKOBA ARUSHA KUWEKEZA

Mratibu wa Alliance For Social Education (ASE), Sunayritha Tawata akimkaribisha Mkurugenzi wa Masoko na Uhusiano wa UTT AMIS, Daudi Mbaga (kushoto) katika semina ya Uwekezaji wa Pamoja iliyofanyika jijini Arusha.
Mkurugenzi wa Masoko na Uhusiano wa UTT AMIS, Daudi Mbaga akizungumza katika semina ya uwekezaji wa Pamoja uliofanyika jijini Arusha.
Baadhi ya washiriki wa semina ya Uwekezaji wa Pamoja wakisikiliza mada.

Ofisa Masoko Mkufunzi wa UTT AMIS, Waziri Ramadhan akitoa mada katika semina ya Uwekezaji wa Pamoja iliyofanyika jijini Arusha.

No comments:

TANZANIA YAIPONGEZA NORWAY KWA KUENDELEA KUUNGA MKONO MAENDELEO

  Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo, ameipongeza Serikali ya Ufalme wa Norway kwa ...