Monday, December 14, 2015

OMARY KIGODA ASHINDA UBUNGE JIMBO LA HANDENI MJINI

Mgombea Ubunge jimbo la Handeni kupitia CCM Omary Abdallah Kigoda ameibuka mshindi kwa kupata kura 10,315
Shundi Aidan CUF 2415
Daud lusewa CHADEMA 648
Doyo hassani ADC 184
Makame bakari TLP 19
Bakari Mhina AFP 6

No comments:

NIRC YAFUNGUA SURA MPYA YA KILIMO: MIRADI 30, PAMPU 2,000 NA AJIRA 4,000

  Na Mwandishi Wetu, Dodoma Serikali kupitia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) inatarajia kuanza utekelezaji wa miradi mipya zaidi ya 30 ...