Monday, December 14, 2015

OMARY KIGODA ASHINDA UBUNGE JIMBO LA HANDENI MJINI

Mgombea Ubunge jimbo la Handeni kupitia CCM Omary Abdallah Kigoda ameibuka mshindi kwa kupata kura 10,315
Shundi Aidan CUF 2415
Daud lusewa CHADEMA 648
Doyo hassani ADC 184
Makame bakari TLP 19
Bakari Mhina AFP 6

No comments:

RAIS SAMIA AFUNGUA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA TANGA

    Kilindi, Tanga – 25 Februari, 2025 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameendelea na ziara yake ya k...