Wednesday, December 16, 2015

MAJALIWA AKUTANA NA KATIBU MTENDAJI WA SADC

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Katibu Mkuu Mtendaji wa  SADC, Dkt. Stergomena Tax, ofisini kwake jijini Dar es salaam Desemba 16, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
1F2

No comments:

Kaimu Mkurugenzi Mbarali Apokea Mkataba wa Ujenzi wa Kiwanda cha Kuchakata Mafuta ya Alizeti

Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali , Bi. Gloria Komba, amepokea rasmi mkataba wa ujenzi wa jengo la kuchakata mafuta ya al...