Saturday, December 19, 2015

WAZIRI MKUU, KASSIM MAJALIWA AIFARIJI FAMILIA YA RAIS MSTAAFU WA AWAMU YA NNE JAKAYA MRISHO KIKWETE

90
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akisalimiana  na Mke wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Mama Salma Kikwete wakati alipokwenda kuwapa pole wanafamilia kutokana na kifo cha dada yake Rais Mstaafu, Tausi Kikwete, Mikocheni jijini Dar es salaam Desemba 19, 2015.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
88
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akizungumza na Mke wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Mama Salma Kikwete wakati alipokwenda kuwapa pole wanafamilia kutokana na kifo cha dada yake Rais Mstaafu, Tausi Kikwete, Mikocheni jijini Dar es salaam Desemba 19, 2015.
89
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akisalimiana na wanafamilia wa  Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Jakaya  Kikwete  wakati alipokwenda kuwapa pole wanafamilia kutokana na kifo cha dada yake Rais Mstaafu, Tausi Kikwete, Mikocheni jijini Dar es salaam Desemba 19, 2015.

2 comments:

tythis said...

try this why not find out more Recommended Reading Ysl replica visit here useful site

tasi said...

b4j50u6n66 z7n46t6g89 t2s82q7e08 j2k94h4t07 f8t22p4q00 c8y94v6r36