Wednesday, December 16, 2015

NAIBU SPIKA ATEMBELEWA NA BALOZI WA CUBA

 Naibu Spika wa Bunge Mhe. Dkt Tulia Ackson akimshuhudia Balozi wa Cuba nchini Mheshimiwa Jorge Lopez Tormo akisaini kitabu cha wageni wakati alipomtembelea ofisini kwake jiiji Dar es salaam.
Naibu Spika wa Bunge Mhe. Dkt Tulia Ackson akifafanua jambo wakati akizungumza na Balozi wa Cuba nchini Mheshimiwa Jorge Lopez Tormo aliyemtembelea leo ofisini kwake jijini Dar es salaam.
Balozi wa Cuba nchini Mheshimiwa Jorge Lopez Tormo akifafanua jambo wakati akizungumza na Naibu Spika Mhe. Dkt Tulia Ackson alipomtembelea leo ofisini kwake jijini Dar es salaam.
Naibu Spika wa Bunge Mhe. Dkt Tulia Ackson akiagana na Balozi wa Cuba nchini Mheshimiwa Jorge Lopez Tormo mara baada ya kufanya mazungumzo naye ofisin kwake jijini Dar es Salaam.

 (Picha na Ofisi ya Bunge).

No comments:

MMUYA: WANANCHI WANUFAIKE NA UWEKEZAJI WA NHC KUPITIA NYUMBA ZA GHARAMA NAFUU

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Kaspar Mmuya, amekagua maendeleo ya ujenzi wa mradi wa maghala unaotekelezwa na S...