Wednesday, December 16, 2015

NAIBU SPIKA ATEMBELEWA NA BALOZI WA CUBA

 Naibu Spika wa Bunge Mhe. Dkt Tulia Ackson akimshuhudia Balozi wa Cuba nchini Mheshimiwa Jorge Lopez Tormo akisaini kitabu cha wageni wakati alipomtembelea ofisini kwake jiiji Dar es salaam.
Naibu Spika wa Bunge Mhe. Dkt Tulia Ackson akifafanua jambo wakati akizungumza na Balozi wa Cuba nchini Mheshimiwa Jorge Lopez Tormo aliyemtembelea leo ofisini kwake jijini Dar es salaam.
Balozi wa Cuba nchini Mheshimiwa Jorge Lopez Tormo akifafanua jambo wakati akizungumza na Naibu Spika Mhe. Dkt Tulia Ackson alipomtembelea leo ofisini kwake jijini Dar es salaam.
Naibu Spika wa Bunge Mhe. Dkt Tulia Ackson akiagana na Balozi wa Cuba nchini Mheshimiwa Jorge Lopez Tormo mara baada ya kufanya mazungumzo naye ofisin kwake jijini Dar es Salaam.

 (Picha na Ofisi ya Bunge).

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...