Thursday, October 31, 2013

VIONGOZI MBALIMBALI WA KISERIKALI WAMZIKA MAREHEMU BALOZI SEPETU HAPO JANA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
 Shein akisalimiana na Padri wa Kanisa Katoliki la Minara miwili Mjini Zanzibar
 Cosmas Amani Shayo, alipowasili katika eneo la Mazishi ya Marehemu Balozi
 Issac Abraham Sepetu,yaliyofanyika kijijini kwao Mbuzini Wilaya ya  Magharibi
 Unguja jana.…

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed 
Shein akisalimiana na Padri wa Kanisa Katoliki la Minara miwili Mjini Zanzibar
 Cosmas Amani Shayo, alipowasili katika eneo la Mazishi ya Marehemu Baloz
i Issac Abraham Sepetu,yaliyofanyika kijijini kwao Mbuzini Wilaya ya  Magharibi
 Unguja jana.
Jeneza la Marehemu Balozi Issac Abraham Sepetu,likiwa limebebwa na 
Askari Polisi na kulifikisha katika kaburi lake yalipofanyika mazishi kijijini 
kwao Mbuzini Wilaya ya  Magharibi Unguja jana.
Padri wa Kanisa Katoliki la  Minara miwili Mjini Zanzibar Cosmas Amani 
Shayo, akiuombea mwili wa marehemu Balozi Issac Abraham Sepetu,
wakati wa mazishi yake yaliyofanyika kijijini kwao Mbuzini Wilaya ya  Magharibi 
Unguja jana.
Jeneza lenye Mwili wa Marehemu Balozi Issac Abraham Sepetu,ukitemshwa katika
 kaburi wakati wa mazishi yake yaliyofanyika kijijini kwao Mbuzini Wilaya ya 
 Magharibi Unguja jana.
( PICHA RAMADHAN OTHMAN IKULU )

No comments: