Mwenyekiti wa chama cha CUF Prof Ibrahimu Lipumba,akitoa tamko la umoja wa vyama vya upinzani la kusitisha maandamano ya nchi nzima yaliyopangwa kufanyika mwezi huu,ambapo wana mpango wa kwenda Ikulu kujadiliana na Rais Jakaya Kikwete mambo yanayohusu mchakato wa Katiba mpya,kushoto ni Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe na Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi James Mbatia(kulia).Picha na Michael Jamson
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Rais Dkt. Samia Awasili Addis Ababa Kushiriki Mkutano wa 39 wa Wakuu wa Nchi wa AU
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewasili katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Bole, Jij...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. . Picha na Jube Tranqu...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...

No comments:
Post a Comment