Thursday, October 10, 2013

Vyama vya siasa vya upinzani vyaahirisha maandamano ambayo yalitakiwa kufanyika Leo nchi Nzima



Mwenyekiti wa chama cha CUF Prof Ibrahimu Lipumba,akitoa tamko la umoja wa vyama vya upinzani la kusitisha maandamano ya nchi nzima yaliyopangwa kufanyika mwezi huu,ambapo wana mpango wa kwenda Ikulu kujadiliana na Rais Jakaya Kikwete mambo yanayohusu mchakato wa Katiba mpya,kushoto ni Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe na Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi James Mbatia(kulia).Picha na Michael Jamson

No comments:

KIKWETE ATEULIWA KUWA MWAKILISHI WA NGAZI YA JUU WA MWENYEKITI WA KAMISHENI YA AU

Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AUC), Mhe. Mahmoud Ali Youssouf, amemteua Rais Mstaafu wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Ki...