Friday, October 25, 2013

Vijana wa Tabora Boys enzi hizo

Kuanzia kushoto Luwaga Kizoka, Daudi Masoli, Chief wa Girls (Colleta Rulegula), Lulu Shangali, Yahya Charahani, Danny Lyimo na Mzee Gombozz katika mojawapo ya hafla za Shule ya sekondari ya wavulana Tabora
 Mzee Gombo akiwa na kikosi chake wakirejea bwenini Sina baada ya kupata chakula
Saafu ya Mbele Chief Maziko Reuben  Charles Tongoli , Mzee Gombozz, Danny Lyimo , James Kapaya katika mojawapo ya matukio kwenye bwalo la chakula la shule ya Tabora Boys. PICHA KWA HISANI YA MZEE GOMBO.

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...