Friday, October 25, 2013

Vijana wa Tabora Boys enzi hizo

Kuanzia kushoto Luwaga Kizoka, Daudi Masoli, Chief wa Girls (Colleta Rulegula), Lulu Shangali, Yahya Charahani, Danny Lyimo na Mzee Gombozz katika mojawapo ya hafla za Shule ya sekondari ya wavulana Tabora
 Mzee Gombo akiwa na kikosi chake wakirejea bwenini Sina baada ya kupata chakula
Saafu ya Mbele Chief Maziko Reuben  Charles Tongoli , Mzee Gombozz, Danny Lyimo , James Kapaya katika mojawapo ya matukio kwenye bwalo la chakula la shule ya Tabora Boys. PICHA KWA HISANI YA MZEE GOMBO.

No comments:

NHC YATOA ELIMU YA HATI PACHA, YASISITIZA UMOJA WA WAMILIKI SAMIA HOUSING SCHEME KAWE

 Samia Housing Scheme Kawe: nyumba 560, familia tofauti zikiunganishwa na mtindo mmoja wa maisha ya  kisasa—ushirikiano, ustaarabu na “moder...