Kuanzia kushoto Luwaga Kizoka, Daudi Masoli, Chief wa Girls (Colleta Rulegula), Lulu Shangali, Yahya Charahani, Danny Lyimo na Mzee Gombozz katika mojawapo ya hafla za Shule ya sekondari ya wavulana Tabora
Mzee Gombo akiwa na kikosi chake wakirejea bwenini Sina baada ya kupata chakula
Saafu ya Mbele Chief Maziko Reuben Charles Tongoli , Mzee Gombozz, Danny Lyimo , James Kapaya katika mojawapo ya matukio kwenye bwalo la chakula la shule ya Tabora Boys. PICHA KWA HISANI YA MZEE GOMBO.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
NHC YAKABIDHI MSAADA KWA WATU WENYE ULEMAVU UBUNGO
Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), kupitia kwa Afisa wake Mkuu wa Habari, Yahya Charahani, limekabidhi msaada wa vifaa vya kusaidia watu we...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
No comments:
Post a Comment