Wednesday, October 02, 2013

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASHIRIKI KILELE CHA MAADHIMISHO YA SIKU WAZEE DUNIANI NA WAZEE WA KOROGWE MKOA WA TANG
























 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
 Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal Akivishwa
 vazi la Asili
















Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. 
Mohammed Gharib Bilal, akiagana na baadhi ya Wazee waliohudhuria 
katika sherehe za Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wazee Duniani, 
baada ya kuhutubia katika sherehe hizo zilizofanyika kwenye Uwanja 
wa Mandu, Korogwe Mkoani Tanga.

















 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. 
Mohammed Gharib Bilal, akihutubia katika sherehe za Kilele cha
 Maadhimisho ya Siku ya Wazee Duniani, zilizofanyika kwenye 
Uwanja wa Shule ya Msingi Mazoezi Wilaya ya Korogwe Mkoani Tanga.
  Sehemu ya wazee waliojitokeza kuhudhuria sherehe hizo.
  Sehemu ya wazee waliojitokeza kuhudhuria sherehe hizo.
 Picha ya pamoja na baadhi ya wazee. Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais

No comments: