Tuesday, October 15, 2013
MSHINDI WA NYUMBA YA TATU AIRTEL YATOSHA APOKEA CHETI CHA USHINDI
Meneja Uhusiano wa Airtel, Bw. Jackson Mmbando (katikati)
akiongea na wanahabari (hawapo pichani)…
Meneja Uhusiano wa Airtel, Bw. Jackson Mmbando akimkabidhi
cheti mshindi wa tatu wa nyumba ya Airtel Bi. Husnat John
aliyeibuka mshindi kupitia promosheni ya Airtel inayofahamika kwa jina
la Airtel Yatosha, shinda nyumba 3. Kati ni Meneja Uhusiano wa Airtel Bi, Aneth Muga. Na wa kwanza kushoto ni mtoto
wa mshindi huyo Eksher Abby.
Meneja Uhusiano wa Airtel, Bw. Jackson Mmbando akimkabidhi
cheti mshindi wa tatu wa nyumba ya Airtel Bi. Husnat John
aliyeibuka mshindi kupitia promosheni ya Airtel inayofahamika kwa jina
la Airtel Yatosha, shinda nyumba 3. Kati ni Meneja Uhusiano wa Airtel Bi, Aneth Muga. Na wa kwanza kushoto ni mtoto
wa mshindi huyo Eksher Abby.
Meneja Uhusiano wa Airtel, Bw. Jackson Mmbando (katikati)
akiongea na wanahabari (hawapo pichani) kabla ya kumkabidhi cheti mshindi wa
tatu wa nyumba ya Airtel Bi. Husnat John
(kushoto) aliyeibuka mshindi kupitia promosheni ya Airtel inayofahamika kwa
jina la Airtel Yatosha, shinda nyumba 3. Kulia ni Meneja Uhusiano wa
Airtel Bi, Aneth Muga.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Rais Dkt. Samia Awasili Addis Ababa Kushiriki Mkutano wa 39 wa Wakuu wa Nchi wa AU
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewasili katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Bole, Jij...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. . Picha na Jube Tranqu...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
.jpg)
.jpg)

.jpg)

.jpg)

No comments:
Post a Comment