Tuesday, October 15, 2013
MSHINDI WA NYUMBA YA TATU AIRTEL YATOSHA APOKEA CHETI CHA USHINDI
Meneja Uhusiano wa Airtel, Bw. Jackson Mmbando (katikati)
akiongea na wanahabari (hawapo pichani)…
Meneja Uhusiano wa Airtel, Bw. Jackson Mmbando akimkabidhi
cheti mshindi wa tatu wa nyumba ya Airtel Bi. Husnat John
aliyeibuka mshindi kupitia promosheni ya Airtel inayofahamika kwa jina
la Airtel Yatosha, shinda nyumba 3. Kati ni Meneja Uhusiano wa Airtel Bi, Aneth Muga. Na wa kwanza kushoto ni mtoto
wa mshindi huyo Eksher Abby.
Meneja Uhusiano wa Airtel, Bw. Jackson Mmbando akimkabidhi
cheti mshindi wa tatu wa nyumba ya Airtel Bi. Husnat John
aliyeibuka mshindi kupitia promosheni ya Airtel inayofahamika kwa jina
la Airtel Yatosha, shinda nyumba 3. Kati ni Meneja Uhusiano wa Airtel Bi, Aneth Muga. Na wa kwanza kushoto ni mtoto
wa mshindi huyo Eksher Abby.
Meneja Uhusiano wa Airtel, Bw. Jackson Mmbando (katikati)
akiongea na wanahabari (hawapo pichani) kabla ya kumkabidhi cheti mshindi wa
tatu wa nyumba ya Airtel Bi. Husnat John
(kushoto) aliyeibuka mshindi kupitia promosheni ya Airtel inayofahamika kwa
jina la Airtel Yatosha, shinda nyumba 3. Kulia ni Meneja Uhusiano wa
Airtel Bi, Aneth Muga.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS SAMIA AMUAPISHA DKT. JOHN ANTHONY JINGU KUWA MTENDAJI MKUU WA MAHAKAMA YA TANZANIA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akimuapisha Dkt. John Anthony Jingu kuwa Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Pascal Mayalla akiwa katika chumba cha wagonjwa Daraja la kwanza katika hospitali ya mkoa wa Dodoma ambako amelazwa kwa matibabu baada ya ku...
.jpg)
.jpg)

.jpg)

.jpg)

No comments:
Post a Comment