Tuesday, October 15, 2013
MSHINDI WA NYUMBA YA TATU AIRTEL YATOSHA APOKEA CHETI CHA USHINDI
Meneja Uhusiano wa Airtel, Bw. Jackson Mmbando (katikati)
akiongea na wanahabari (hawapo pichani)…
Meneja Uhusiano wa Airtel, Bw. Jackson Mmbando akimkabidhi
cheti mshindi wa tatu wa nyumba ya Airtel Bi. Husnat John
aliyeibuka mshindi kupitia promosheni ya Airtel inayofahamika kwa jina
la Airtel Yatosha, shinda nyumba 3. Kati ni Meneja Uhusiano wa Airtel Bi, Aneth Muga. Na wa kwanza kushoto ni mtoto
wa mshindi huyo Eksher Abby.
Meneja Uhusiano wa Airtel, Bw. Jackson Mmbando akimkabidhi
cheti mshindi wa tatu wa nyumba ya Airtel Bi. Husnat John
aliyeibuka mshindi kupitia promosheni ya Airtel inayofahamika kwa jina
la Airtel Yatosha, shinda nyumba 3. Kati ni Meneja Uhusiano wa Airtel Bi, Aneth Muga. Na wa kwanza kushoto ni mtoto
wa mshindi huyo Eksher Abby.
Meneja Uhusiano wa Airtel, Bw. Jackson Mmbando (katikati)
akiongea na wanahabari (hawapo pichani) kabla ya kumkabidhi cheti mshindi wa
tatu wa nyumba ya Airtel Bi. Husnat John
(kushoto) aliyeibuka mshindi kupitia promosheni ya Airtel inayofahamika kwa
jina la Airtel Yatosha, shinda nyumba 3. Kulia ni Meneja Uhusiano wa
Airtel Bi, Aneth Muga.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
(Picha na Yahya Charahani) Kwa wale waliokulia maeneo haya, hili ni jambo la kawaida ukitoka mjini, shambani sijui hadi wapi kote ni haya h...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
No comments:
Post a Comment