Meneja Mauzo wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL). Wilaya ya Temeke, Patrick Swai (kushoto) akimkabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya sh. mil. 35, Mhandisi wa Kampuni ya Drima Drima Drilling, Amiri Msangi kwa ajili ya gharama ya uchimbaji wa kisima cha maji katika Zahanati ya Kibada iliyopo Kingamboni Dar es Salaam. Anayeshudia makabidhiano hayo yaliyofanyika juzi katika zahanati hiyo ni Mganga Mfawidhi wa Zahanati hiyo Dk. Isabela Ipopo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS DKT. MWINYI: TUWALEE VIJANA KATIKA MAADILI, TUDUMISHE AMANI KUELEKEA UCHAGUZI
Zanzibar, 11 Julai 2025 — Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametoa wito wa kitaifa kwa ...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
No comments:
Post a Comment