Mzee wa Mshitu
Saturday, October 19, 2013
UTUMISHI WAPONGEZWA KUWA MSHINDI WA PILI SHIMIWI
Watumishi na Viongozi wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
wakimsikiliza Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais,Utumishi Mh.Celina O. Kombani
(Mb) wakati wa hafla fupi ya kuipongeza timu ya mpira wa Pete ya Utumishi
iliyofanyika ofisini hapo j
ana
Mwenyekiti wa Klabu ya michezo ya Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi
wa Umma Bw.Lumuli Mtaki akisoma ripoti kuhusu klabu yake ya Utumishi
wakati wa hafla fupi ya ya kuipongeza timu ya mpira wa Pete ya Utumishi
iliyofanyika ofisini hapo j
ana
Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Mh.Celina O.
Kombani (Mb) akiongea ofisini kwake katika hafla fupi ya kuipongeza timu
ya mpira wa Pete ya Utumishi j
ana
Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Mh.Celina O.
Kombani (Mb) akiongea ofisini kwake katika hafla fupi ya kuipongeza timu
ya mpira wa Pete ya Utumishi mapema j
ana
Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Mh.Celina O.
Kombani (Mb) akiwa katika picha ya pamoja na Timu ya Mpira wa Pete ya
Utumishi mara baada ya hafla fupi ya ya kuipongeza timu hiyo iliyofanyika
ofisini kwake jana.Wengine mstari mbele ni Kapteni wa timu hiyo
Bi.Elizabeth Fussi (mwenye kikombe), Naibu Katibu Mkuu Utumishi Bw.HAB
Mkwizu , na kushoto kabisa ni Mwalimu wa timu Bw Mathew Kambona na Katibu
Mkuu Utumishi Bw.George D. Yambesi (kushoto kwake).
Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Mh.Celina
Kombani akikabidhiwa kikombe na Kapteni wa Mpira wa Timu ya Mpira wa Pete
ya Utumishi baada ya hafla fupi ya kuipongeza timu hiyo iliyofanyika
ofisini jana.Wengine ni Katibu Mkuu Utumishi Bw.George Yambesi
(kushoto) na Naibu Katibu Mkuu Utumishi Bw.HAB Mkwizu (kulia) wakishuhudia
tukio hilo.
Watumishi na Viongozi wa Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma
wakimsikiliza Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais,Utumishi Mh.Celina O. Kombani
(Mb) wakati wa hafla fupi ya kuipongeza timu ya mpira wa Pete ya Utumishi
iliyofanyika ofisi
ni hapo jana
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment