Monday, October 07, 2013

NHC yatoa msaada wa madawati 70 shule ya msingi Mtejeta Mpwapwa


Mwenyekiti wa Shule ya Mazoezi Mtejeta, Jacob Luhunga (kulia) akikabidhiwa mojawapo ya madawati kati ya madawati 70 yaliyotolewa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), kwa shule hiyo mwishoni mwa wiki (Septemba 26). Madawati hayo yalikabidhiwa na Meneja Huduma kwa Jamii wa NHC Muungano Saguya, kushoto. (PICHA KWA HISANI YA NHC)

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...