Mwenyekiti wa Shule ya Mazoezi Mtejeta, Jacob Luhunga (kulia)
akikabidhiwa mojawapo ya madawati kati ya madawati 70 yaliyotolewa na Shirika
la Nyumba la Taifa (NHC), kwa shule hiyo mwishoni mwa wiki (Septemba 26).
Madawati hayo yalikabidhiwa na Meneja Huduma kwa Jamii wa NHC Muungano Saguya,
kushoto. (PICHA KWA HISANI YA NHC)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
NHC YAKABIDHI MSAADA KWA WATU WENYE ULEMAVU UBUNGO
Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), kupitia kwa Afisa wake Mkuu wa Habari, Yahya Charahani, limekabidhi msaada wa vifaa vya kusaidia watu we...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
No comments:
Post a Comment