Mwenyekiti wa Shule ya Mazoezi Mtejeta, Jacob Luhunga (kulia)
akikabidhiwa mojawapo ya madawati kati ya madawati 70 yaliyotolewa na Shirika
la Nyumba la Taifa (NHC), kwa shule hiyo mwishoni mwa wiki (Septemba 26).
Madawati hayo yalikabidhiwa na Meneja Huduma kwa Jamii wa NHC Muungano Saguya,
kushoto. (PICHA KWA HISANI YA NHC)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
WANANCHI KAHAMA WAMSHUKURU RAIS SAMIA KUWAFIKISHIA UMEME WA REA
📌Vijiji vyote 246 na Vitongoji 479 Kahama vimefikiwa 📌Shughuli za kiuchumi na kijamii zimeimarika 📌Naibu Waziri Salome awahakikishia vi...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
No comments:
Post a Comment