Monday, October 07, 2013

NHC yatoa msaada wa madawati 70 shule ya msingi Mtejeta Mpwapwa


Mwenyekiti wa Shule ya Mazoezi Mtejeta, Jacob Luhunga (kulia) akikabidhiwa mojawapo ya madawati kati ya madawati 70 yaliyotolewa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), kwa shule hiyo mwishoni mwa wiki (Septemba 26). Madawati hayo yalikabidhiwa na Meneja Huduma kwa Jamii wa NHC Muungano Saguya, kushoto. (PICHA KWA HISANI YA NHC)

No comments:

MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR AMTEMBELEA MHE. FARIDA AMOUR MOH'D HOSPITALINI, AMTAKIA AFYA NJEMA

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdulla , leo tarehe 21 Mei 2026 amemtembelea na kumjulia hali Mwakilishi wa Viti M...