Mwenyekiti wa Shule ya Mazoezi Mtejeta, Jacob Luhunga (kulia)
akikabidhiwa mojawapo ya madawati kati ya madawati 70 yaliyotolewa na Shirika
la Nyumba la Taifa (NHC), kwa shule hiyo mwishoni mwa wiki (Septemba 26).
Madawati hayo yalikabidhiwa na Meneja Huduma kwa Jamii wa NHC Muungano Saguya,
kushoto. (PICHA KWA HISANI YA NHC)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR AMTEMBELEA MHE. FARIDA AMOUR MOH'D HOSPITALINI, AMTAKIA AFYA NJEMA
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdulla , leo tarehe 21 Mei 2026 amemtembelea na kumjulia hali Mwakilishi wa Viti M...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Pascal Mayalla akiwa katika chumba cha wagonjwa Daraja la kwanza katika hospitali ya mkoa wa Dodoma ambako amelazwa kwa matibabu baada ya ku...
No comments:
Post a Comment