Monday, October 07, 2013

NHC yatoa msaada wa madawati 70 shule ya msingi Mtejeta Mpwapwa


Mwenyekiti wa Shule ya Mazoezi Mtejeta, Jacob Luhunga (kulia) akikabidhiwa mojawapo ya madawati kati ya madawati 70 yaliyotolewa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), kwa shule hiyo mwishoni mwa wiki (Septemba 26). Madawati hayo yalikabidhiwa na Meneja Huduma kwa Jamii wa NHC Muungano Saguya, kushoto. (PICHA KWA HISANI YA NHC)

No comments:

RAIS DKT. MWINYI: TUWALEE VIJANA KATIKA MAADILI, TUDUMISHE AMANI KUELEKEA UCHAGUZI

Zanzibar, 11 Julai 2025 — Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametoa wito wa kitaifa kwa ...