Friday, October 18, 2013

RAIS KIKWETE NA MKEWE WAMPA MKONO WA EID EL HAJJ MUADHAMA POLYCARP KARDINALI PENGO


Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe mama Salma Kikwete wakimtakia  heri ya Sikukuu ya EID Muadhama Polycarp Kardinali Pengo, Nyumbani kwake, Kurasini jijini Dar es Salaam jana. (picha na Freddy Maro)

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...