Friday, October 18, 2013

RAIS KIKWETE NA MKEWE WAMPA MKONO WA EID EL HAJJ MUADHAMA POLYCARP KARDINALI PENGO


Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe mama Salma Kikwete wakimtakia  heri ya Sikukuu ya EID Muadhama Polycarp Kardinali Pengo, Nyumbani kwake, Kurasini jijini Dar es Salaam jana. (picha na Freddy Maro)

No comments:

Prof. Mfaransa Aja na Kitabu: Aiambia Dunia Kutalii Tanzania ni Tiba

Na Mwandishi Wetu Paris, Ufaransa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, akiwa nchini Ufaransa jana Julai 8, 2025 amek...