Saturday, October 19, 2013

RAIS DR JAKAYA KIKWETE AZINDUA RASMI MNARA WA 3G WA VODA COM MKOA WA NJOMBE APONGEZA

Rais  Dr Jakaya  Kikwete  akizindua  rasmi  mnara  wa mawasiliano  wa kampuni  ya Voda com  wenye  kasi ya ajabu ya 3G  katika mji  wa Njombe mkoa  mpya  wa  Njombe  leo kabla ya  kuzindua  rasimi mkoa  wa Njombe leo

Mkuu wa  wilaya ya  Njombe  Sarah Ndumba akiwa na watenda kazi 
 wa Vodacom Salum Mwalimu na Nguvu Kamando  kulia
Mkuu  wa  wilaya ya  Njombe Sarah Dumba kushoto akimsubiri 
Rais Kikwete  kuzindua mnara wa 3G wa Voda Com mkoa wa Njombe
Wafanyakazi  wa Vodacom  wakisubiri kumpokea Rais Kikwete
Ofisa  mawasiliano  wa Vodacom Sam Mwalimu akifafanua jambo
Rais Kikwete  akiwasili  kuzindua mnara  wa Vodacom mjini Njombe
Wafanyakazi  wa Vodacom wakipiga makofi wakati Rais Kikwete  
akizindua mnara  wa 3G mjini Njombe
Rais Jakaya  Kikwete wa  tatu  kulia akiwa na mkewe mama Salma 
 pamoja na mkuu  wa  mkoa wa Njombe Aser Msangi kulia wakipata
 maelezo  kutoka kwa mwakilishi wa kampuni ya Vodacom Tanzania
 Bw Nguvu Kamando kuhusu   mnara  wa  3G uliojengwa mjini Njombe














Head of Network Perfomance wa  Vodacom Tanzania Nguvu Kamando  
akitoa  taarifa  kwa  Rais Jakaya Kikwete  juu ya mkakati  wa Vodacom  
kuendelea  kuwafikia watanzania  waliopo pembezoni  zaidi

No comments: