Mbunge wa Jimbo la Temeke, Abbas Mtemvu akijibu maswali mbalimbali kutoka kwa wananchi wa mkutano wa hadhara katika Uwanja wa Sifa, Mtoni Sabasaba, Temeke, Dar es Salaam. Alifanya mkutano huo kwa lengo la kuelezea miradi mbalimbali inayotekelezwa wilayani humo kwa Ilani ya Uchaguzi ya CCM.
Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Temeke, Yahya Sikunjema akihutubia katika mkutano huo
Mtemvu akitaja miradi mbalimbali inayotekelezwa wilayani humo
Baadhi ya viongozi wa CCM, Serikali na vyama vya upinzani wakiwa katika mkutano huo
Mmoja wa wananchi akiuliza swali kwa viongozi akiwemo mbunge na diwani wa eneo hilo
Mtemvu akijibu maswali
Diwani wa Kata ya Mtoni Ali Kinyaka akijibu maswali ya wananchi
Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Temeke, Sikunjema na Mbunge Mtemvu wakicheza muziki wa majanga
Kulia Mke wa Mbunge wa Temeke, akifurahi pamoja na wananchi baada ya mkutano huo kumalizika
Mke wa Mbunge wa Temeke, ambaye pia ni Diwani wa Viti Maalum (wa pili kushoto) akicheza muziki pamoja na wananchi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Prof. Mfaransa Aja na Kitabu: Aiambia Dunia Kutalii Tanzania ni Tiba
Na Mwandishi Wetu Paris, Ufaransa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, akiwa nchini Ufaransa jana Julai 8, 2025 amek...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
No comments:
Post a Comment