Friday, October 18, 2013

ZIARA YA RAIS KIKWETE NJOMBE

a1 a9615
a2 e60d5
Rais Jayaka Mrisho Kikwete aki furahi na mkurugenzi wa kampuni ya Mufindi Tea & Coffee Limited Noel Lindsay Smith baada ya kufungua kiwanda cha chai cha Ikanga wilaya ya Njombe baada ya kukifungua.
a4 9b8ec
Rais Jayaka Mrisho Kikwete akikagua sehemu mbalimbali za kiwanda cha chai cha Ikanga wilaya ya Njombe baada ya kukifungua.
a5 69fd2
Rais Jayaka Mrisho Kikwete akihutubia mkutano wa hadhara baada ya kufungua kiwanda cha chai cha Ikanga wilaya ya Njombe baada ya kukifungua leo Oktoba 18, 2013.

No comments:

NHC YAKABIDHI MSAADA KWA WATU WENYE ULEMAVU UBUNGO

  Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), kupitia kwa Afisa wake Mkuu wa Habari, Yahya Charahani, limekabidhi msaada wa vifaa vya kusaidia watu we...