Friday, October 18, 2013

ZIARA YA RAIS KIKWETE NJOMBE

a1 a9615
a2 e60d5
Rais Jayaka Mrisho Kikwete aki furahi na mkurugenzi wa kampuni ya Mufindi Tea & Coffee Limited Noel Lindsay Smith baada ya kufungua kiwanda cha chai cha Ikanga wilaya ya Njombe baada ya kukifungua.
a4 9b8ec
Rais Jayaka Mrisho Kikwete akikagua sehemu mbalimbali za kiwanda cha chai cha Ikanga wilaya ya Njombe baada ya kukifungua.
a5 69fd2
Rais Jayaka Mrisho Kikwete akihutubia mkutano wa hadhara baada ya kufungua kiwanda cha chai cha Ikanga wilaya ya Njombe baada ya kukifungua leo Oktoba 18, 2013.

No comments:

RAIS SAMIA ATEMBELEA MABANDA YA MAONESHO YA NANENANE JIJINI DODOMA

Tarehe 8 Agosti 2025, viwanja vya Nzuguni Jijini Dodoma vilikua kitovu cha shughuli nyingi wakati wa Maonesho ya Kitaifa na Kimataifa ya Nan...