Tuesday, October 15, 2013

Mwanasiasa mkongwe Peter Kisumo Aonya CCM yaweza Kung’oka Madarakani Kutokana na Kunyamazia Vitendo vya Ufisadi na Matumizi Mabaya ya Rasilimali za Umma

 Peter Kisumo akizungumza na timu ya waandishi wa habari wa mwananchi nyumbani kwake jijini Dar es Salaam. Picha na Sulvan Kiwale
--- 
 Mwanasiasa na kada mkongwe wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Peter Kisumo ameonya kuwa chama hicho kinaweza kuondolewa madarakani kutokana na kunyamazia vitendo vya ufisadi na matumizi mabaya ya rasilimali za umma vinavyotokea nchini.

Mzee Kisumo alitoa onyo hilo wiki iliyopita katika mazungumzo maalumu aliyofanya na Mwananchi nyumbani kwake Dar es Salaam kuhusu kumbukumbu ya miaka 14 ya kifo cha Mwalimu Julius Nyerere inayoadhimishwa leo.Kwa habari zaidi Bofya na Endelea.......

No comments:

NHC YATOA ELIMU YA HATI PACHA, YASISITIZA UMOJA WA WAMILIKI SAMIA HOUSING SCHEME KAWE

 Samia Housing Scheme Kawe: nyumba 560, familia tofauti zikiunganishwa na mtindo mmoja wa maisha ya  kisasa—ushirikiano, ustaarabu na “moder...