Monday, October 07, 2013

Rais Jakaya Kikwete Azindua Mradi wa Umeme Wilaya ya Kisarawe Eneo la Mzinga

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akibonyeza kitufe kuzindua rasmi Mradi wa Umeme Wilaya ya Kisarawe Eneo la Mzinga jana mchana. Wanne kushoto ni Waziri wa Nishati na Madini Professa Sospeter Muhongo,Watatu kushoto ni Mbunge wa Kisarawe Mhe.Athumani Jaffo, Kushoto ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TANESCO,Mhandisi Felchesmi Mramba na kulia ni Mke wa Rais Mama Salma Kikwete. Picha na mdau Freddy Maro-IKULU

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...