Monday, October 07, 2013

Askofu Malasusa Azindua Rasmi na Kuwekwa Wakfu Kwa Kanisa la Usharika wa Mabibo External Dar
















































Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), 
Dk Alex Malasusa, akimtambulisha kwa waumini wa kanisa hilo 
la usharika wa Mabibo External, sanjari na kumtia moyo katika 
utendaji wake, Mbunge wa Jimbo la Ubungo-Chadema, John Mnyika,  
kwenye ibada maalum ya ufunguzi rasmi na kuwekwa wakfu kwa 
kanisa la usharika wa Mabibo External, Dar es Salaam. Picha Zote 
na Dande Francis

No comments:

Rais Dkt. Samia Awasili Addis Ababa Kushiriki Mkutano wa 39 wa Wakuu wa Nchi wa AU

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewasili katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Bole, Jij...