Monday, October 07, 2013

Askofu Malasusa Azindua Rasmi na Kuwekwa Wakfu Kwa Kanisa la Usharika wa Mabibo External Dar
















































Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), 
Dk Alex Malasusa, akimtambulisha kwa waumini wa kanisa hilo 
la usharika wa Mabibo External, sanjari na kumtia moyo katika 
utendaji wake, Mbunge wa Jimbo la Ubungo-Chadema, John Mnyika,  
kwenye ibada maalum ya ufunguzi rasmi na kuwekwa wakfu kwa 
kanisa la usharika wa Mabibo External, Dar es Salaam. Picha Zote 
na Dande Francis

No comments:

🔴🔴TABORA ZOO YAENDELEA KUNG'ARA KAMA KITOVU CHA ELIMU, BURUDANI NA UTALII WA NDANI

Na Mwandishi wetu, Tabora. Bustani ya Wanyamapori Tabora (Tabora Zoo) imeendelea kujipambanua kama kivutio muhimu cha elimu na burudani jiji...