Monday, October 07, 2013

Askofu Malasusa Azindua Rasmi na Kuwekwa Wakfu Kwa Kanisa la Usharika wa Mabibo External Dar
















































Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), 
Dk Alex Malasusa, akimtambulisha kwa waumini wa kanisa hilo 
la usharika wa Mabibo External, sanjari na kumtia moyo katika 
utendaji wake, Mbunge wa Jimbo la Ubungo-Chadema, John Mnyika,  
kwenye ibada maalum ya ufunguzi rasmi na kuwekwa wakfu kwa 
kanisa la usharika wa Mabibo External, Dar es Salaam. Picha Zote 
na Dande Francis

No comments:

RC CHALAMILA AMALIZA MGOGORO WA WAFANYABIASHARA WA MANZESE NA HALMASHAURI YA UBUNGO

Dar es Salaam, Julai 12, 2025 — Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Albert Chalamila, leo amehitimisha mgogoro uliodumu kati ya Jumuiya ya W...