Thursday, October 10, 2013

MAKAMU WA RAIS DKT.GHARIB BILAL AMJULIA HALI KAKA WA DKT. SALMIN AMOUR, ABUU AMOUR, ALIYELAZWA HOSPITALI YA MUHIMBILI


 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na mgonjwa Kaka wa Rais Mstaafu wa Zanzibar, Salmin Amour, Abuu Amour Juma (73) aliyelazwa Hospitali ya Muhimbili, wakati alipomtembelea kumjilia hali jana hospitalini hapo. Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...