Balozi wa Vietnam nchini, Mhe. Vothanh Nam naye akizungumza katika hafla hiyo. |
Afisa Mambo ya Nje Bw. Emmanuel Luangisa (katikati) akifuatilia hotuba kwenye kitabu iliyokuwa ikisomwa na Mhe. Waziri Mkuu (hayupo pichani) |
Waziri Mkuu, Mhe. Pinda (kulia) na Balozi wa Vietnam nchini Mhe. Vothanh Nam (kushoto) wakitakiana afya njema kwenye hafla hiyo. |
No comments:
Post a Comment