Wednesday, September 30, 2015

MGOMBEA MWENZA WA UKAWA KUPITIA CHADEMA AFANYA MIKUTANO KILWA KUSINI

 Mgombea mwenza wa urais Chadema, Juma Duni Haji akiwapungia mikono wananchi wakati akielekea jukwaani
kuwahutubia kwenye mkutano wa kampeni katika kiwanja cha Mandawa Jimbo la Kilwa
Kusini mkoani Lindi.
(Na Mpigapicha Wetu)
 Mgombea mwenza wa urais Chadema, Juma Duni Haji
akimkabidhi kadi ya CUF aliyekuwa mwanachama wa CCM baada ya kurudisha kadi ya
chama hicho kwenye mkutano wa kampeni katika kiwanja cha Mandawa Jimbo la Kilwa
Kusini mkoani Lindi.
 Mgombea mwenza wa urais Chadema, Juma Duni Haji
akimkabidhi kadi ya CUF aliyekuwa mwanachama wa CCM baada ya kurudisha kadi ya
chama hicho kwenye mkutano wa kampeni katika kiwanja cha Mandawa Jimbo la Kilwa
Kusini mkoani Lindi.
 Mgombea mwenza wa urais Chadema, Juma Duni Haji
akimkabidhi kadi ya CUF aliyekuwa mwanachama wa CCM baada ya kurudisha kadi ya
chama hicho kwenye mkutano wa kampeni katika kiwanja cha Mandawa Jimbo la Kilwa
Kusini mkoani Lindi.
Mgombea mwenza wa urais Chadema, Juma Duni Haji
akiwaaga  wananchi baada ya kumaliza
kuwahutubia kwenye mkutano wa kampeni katika kiwanja cha Mandawa Jimbo la Kilwa
Kusini mkoani Lindi.

No comments:

Rais Samia Aongoza Kikao cha Kamati Kuu ya CCM Taifa Jijini Dodoma

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameongoza kikao mu...