Thursday, September 17, 2015

ZIARA YA WAANDISHI WA HABARI KIWANDA CHA TBL, WAFANYABIASHARA NCHINI WAPEWA WITO

 Meneja wa Kiwanda cha bia cha TBL Mbeya, Waziri Jemedari, akitoa maelezo kwa waandishi wa habari waliofanya ziara ya mashindano ya kuonja bia hivi karibuni(hawapo pichani)
  Meneja mawasiliano wa  TBL Makao makuu, Editha Mushi, akifafanua jambo kwa waandishi wa habari wa Mkoa wa Mbeya.
 Meneja wa Kiwanda cha bia cha TBL Mbeya, Waziri Jemedari, akitoa maelezo kwa waandishi wa habari waliofanya ziara ya mashindano ya kuonja bia hivi karibuni
  Waandishi wa Mkoa wa Mbeya wakipata maelezo lutoka kwa Meneja wa kiwanda.
 Baadhi ya waandishi wa habari wa Mkoa wa Mbeya wakiwa kwenye chumba cha mikutano wakisubiri maelekezo.
 Mmoja wa wafanya kazi wa Tbl Mbeya akisambaza vinywaji kwa washiriki wa shindano la kuonja bia kabla ya kuanza.

No comments:

MSAJILI HAZINA ASHIRIKI UZINDUZI UJENZI MGODI WA MADINI KINYWE

  Na Mwandishi wa OMH Mahenge, Morogoro. Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, ameshiriki uzinduzi wa shughuli za ujenzi wa mgodi wa madi...