Monday, September 21, 2015

HOME GYM MWENGE YASHEREHEKEA MIAKA 17 TANGU KUANZISHWA

 Washiriki wa Jogging iliyoandaliwa na kituo cha mazoezi ya viungo cha Home Gym Mwenge jijini Dar es Salaam kilichopo chini ya Andrew Mangomango (kulia) kwa lengo la kuhamasisha umuhimu wa mazoezi kwa ajili ya afya ya mwili na akili ambapo kituo hicho kimetimiza miaka 17 tangu kuanzishwa, mbio hizo zilianzia Mlimani City na kuishia ufukwe wa Escape One. (Picha na Francis Dande) 
 Washiriki wakiwa katika Jogging.

 Washiriki wakiwa katika Jogging.
Wanachama wa kituo cha mazoezi ya viungo cha Home Gym Mwenge wakikata keki wakati wa kusherehekea mika 17 tangu kunzishwa kwa kituo hicho, hafla hiyo ilifanyika katika Ufukwe wa Escape One jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Kituo cha Mazoezi ya Viungo cha Home Gym Mwenge cha jijini Dar es Salaam (kulia) akilishwa keki na mke wake wakati wa hafla ya kutimiza miaka 17 tangu kuanzishwa kwa kituo hicho.
 Watoto wakilishwa keki wakati wa hafla hiyo.

No comments: