Thursday, September 24, 2015

SWALA YA EID EL HAJJ KITAIFA YAFANYIKA MKOKOTONI

1

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Viongozi alipowasili katika Uwanja vya Mpira Mkokotoni Wilaya ya kaskazini A,palipofanyika Swala ya EID El Hajj iliyoswaliwa kitaifa katika Mkoa wa Kaskazini Unguja leo Septemba 24, 2015.
2
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Viongozi alipowasili katika Uwanja vya Mpira Mkokotoni Wilaya ya kaskazini A,palipofanyika Swala ya EID El Hajj iliyoswaliwa kitaifa katika Mkoa wa Kaskazini Unguja.
3
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (wa tatu kushoto) akijumuika na Viongozi mbali mbali na Waislamu  katika Uwanja vya Mpira Mkokotoni Wilaya ya kaskazini A,palipofanyika Swala ya Eid El Hajj iliyoswaliwa kitaifa katika Mkoa wa Kaskazini Unguja leo iliyoongozwa na Sheikh Mmadi Shamata Kutoka Msikiti wa Kijiji cha Nungwi.
4
Viongozi mbali mbali na Waislamu  wakiwa katika Swala ya  Eid El Hajj katika Uwanja vya Mpira Mkokotoni Wilaya ya kaskazini A, iliyoswaliwa kitaifa katika Mkoa wa Kaskazini Unguja leo iliyoongozwa na Sheikh Mmadi Shamata Kutoka Msikiti wa Kijiji cha Nungwi.
5
Akina mama wa Kijiji cha Mkokotoni na Vijiji Jirani walijumuika katika Swala ya  Eid El Hajj katika Uwanja vya Mpira Mkokotoni Wilaya ya kaskazini A, iliyoswaliwa kitaifa katika Mkoa wa Kaskazini Unguja leo iliyoongozwa na Sheikh Mmadi Shamata Kutoka Msikiti wa Kijiji cha Nungwi.

No comments: