Monday, September 21, 2015

SWAHILI FEST COMMUNITY PICNIC YAFANA DMV

Mshereheshaji Tuma akielekeza jambo kwenye tamasha la Swhili Fest lililofanyika siku ya Jumapili Septemba 20, 2015 Bladensburg, Water Front iliyopo jimbo la Maryland nchini Marekani. Picha na Vijimambo Blog/ Kwanza Production.
Patrick Kajale mmoja ya waratibu wa swahili fest akipata picha ya pamoja na mmoja ya watoto walioshinda kucheza wimbo wa Bongo Flava. Waratibu wengine ni Amri Maliyatabu, Seif Ndossa na Frank Kajale.
Patrick Kajale mmoja ya waratibu wa swahili fest akipata picha ya pamoja na mmoja ya watoto walioshinda kucheza wimbo wa Bongo Flava.
Patrick Kajale mmoja ya waratibu wa swahili fest akipata picha ya pamoja na mmoja ya watoto walioshinda kucheza wimbo wa Bongo Flava.
Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV bwn. Iddi Sandaly akiongea machache kwa wageni waliohudhuria tamasha la Swahili Fest.
Mwalimu wa darasa la Kiswahili DMV na mdau wa CHAUKIDU Bi. Asha Nyang'anyi akiongea machache.
Mdau wa CHAUKIDU Bwn. Elius Magembe akilonga machache.
Wageni waliohudhuria tamasha hilo katika picha

No comments:

RUZUKU YA SH.MILIONI 250 YATOLEWA KWA WABUNIFU WA MATUMIZI BORA YA NISHATI

📌 Kamishna wa Umeme asema Serikali itaendelea kuwawezesha vijana wabunifu katika teknolojia ya matumizi bora ya nishati 📌 Wabunifu wa kike...