Friday, September 04, 2015

MAMA SAMIA KATIKA JIMBO LA KIBAMBA LEO

Wananchi wakimshangilia mgombea mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM,Mama Samia Suluhu Hassan alipowasili kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye viwanja vya Mbezi Centre,  jimbo la Kibamba wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam.
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ua CCM, Mama Samia Suluhu, akiwasalimia wananchi, alipowasili kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika leo kwenye Vwanja vya Mbezi Centre, jimbo la Kibamba, Dar es Salaam.
Mgombea mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM Mama Samia, akiwa tayari kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika leo Viwanja vya Mbezi Centre, jimbo la Kibamba wilayani Kinondoni mkoani Dar es Salaam,  Kulia ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida na kushoto ni Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCm jimbo la Kibamba Dk. Fenela Mkangara.
Wananchi wakimshangilia mgombea mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM,Mama
Samia Suhlu Hassan alipowasili kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika
kwenye viwanja vya Mbezi Centre,  jimbo la Kibamba wilaya ya Kinondoni,
Dar es Salaam.
 Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Kinondoni, Salum Madenge akishangaa umati wa wananchi waliofurika kwenye viwanja vya Mbezi Centre, jimbo la Kibamba, wakati wa mkutano wa kampeni wa mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM uliofanyika katika wilaya hiyo leo.
Msanii wa Muziki wa kizazi kipya, Lina Sanga akionyesha manjonjo yake alipotumbuiza katika mkutano wa kampeni wa Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia uliofanyika viwanja vya Mbezi Centre, Dar es Salaam, leo
Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yussuf Mwenda akiwahutubia wananchi katika mkutano wa Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Dk. John Magufuli, uliofanyika leo kwenye viwanja vya Mbezi Centre, jimbo la Kibamba wilayani humo.
Mjumbe wa Kamati ya Kampeni za Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan, Angela Kairuki, akihutubia umati wa wananchi katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo kwenye viwanja vya Mbezi Centre, jimbo la Kibamba, wilayani Kinondoni, Dar es Salaam.
 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia, akimwelekeza jambo, Mbunge wa Afrika Mashariki Angela Kizigha, wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika leo kwenye viwanja vya Mbezi Centre jimbo la Kibamba Dar es Salaam. Kushoto ni Mgombea Ubunge jimbo la Kibamba Dk. Fenela Mkangara
 Wasanii wa bendi ya Yamoto, wakishambulia jukwaa, wakati wa mkutano wa kampeni za Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia, katika mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika leo kwenye viwanja vya Mbezi Centre, Kibamba jijini Dar es Salaam
 Mama Samia akiwatuza wasanii wa bendi hiyo
 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassani akihutuba mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika viwanja vya Mbezi Centre, jimbo la Kibamba Dar es Salaam
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan, akimnadi mgombea Ubunge jimbo la Kibamba, Dk. Fenella Mkangara katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo kwenye viwanja vya Mbezi Centre, jimboni humo leo. PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO

No comments: