Thursday, July 14, 2016

WAZIRI WA MALIASILI, PROF. JUMANNE MAGHEMBE AONANA NA BALOZI WA FINLAND HAPA NCHINI, PEKKA HUKKA

Waziri wa Maliasili na Utalii Prof. Jumanne Maghembe (katikati) akizungumza na Balozi wa Finland  hapa nchini, Pekka Hukka (kulia) alipotembelewa na Balozi huyo ofisini kwake, Mpingo House taerehe 12 Julai, 2016. Kushoto ni Kaimu Mtendaji Mkuu wa TFS, Richard Kamwenda.
 Balozi wa Finland hapa nchini, Pekka Hukka (kulia), akifafanua jambo wakati wa mazungumzo na Waziri wa Maliasili Prof. Jumanne Maghembe (wa pili kulia) alipomtembelea ofisini kwake kujadili mambo mbalimbali yanayohusu Uhifadhi wa Maliasili na uendelezaji wa sekta ya Misitu nchini. Kushoto ni Kaimu Mtendaji Mkuu wa TFS, Richard Kamwenda.
(Picha na Hamza Temba – Wizara ya Maliasili na Utalii)

No comments: