Friday, July 22, 2016

MAKAMU WA RAIS AFUNGUA MKUTANO WA 10 WA BARAZA LA MAWAZIRI WA MAJI WA NCHI ZA AFRIKA (AMCOW)


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiongea na Mawaziri wanaoshiriki mkutano wa kumi wa Baraza la Mawaziri wa Maji wa nchi za Afrika (AMCOW) leo jijini Dar es slaam.
Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhandisi Gerson Lwenge akimkaribisha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akuongea na Mawaziri wanaoshiriki mkutano wa kumi wa Baraza la Mawaziri wa Maji wa nchi za Afrika (AMCOW) leo jijini Dar es slaam.
Rais wa Baraza la Mawaziri wa Maji wa nchi za Afrika (AMCOW) ambaye pia ni Waziri wa Maji na Usafi wa Mazingira wa Senegal Amadou Mansour Faye akitoa hotuba ya baraza hilo kwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan (hayupo pichani) leo jijini Dar es slaam.
Mwenyekiti wa Maji na Uwezeshaji Afrika na Waziri wa Maji nchini Nigeria Mhandisi Suleiman Adamu akieleza hali ya maji ilivyo Afrika na namna ya kutumia maji kwa zaidi ya nchi moja ili kuwahudumia wananchi wa bara hilo wakati wa mkutano wa kumi wa Baraza la Mawaziri wa Maji wa nchi za Afrika (AMCOW) leo jijini Dar es slaam.
Baadhi ya wajumbe wa mkutano wa 10 wa Baraza la Mawaziri wa Maji wa nchi za Afrika (AMCOW) wakimsikiliza Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan (hayupo pichani) leo jijini Dar es slaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan (wa nne kutoka kulia, walioketi) akiwa katika picha ya pamoja na Mawaziri wanaoshiriki mkutano wa kumi wa Baraza la Mawaziri wa Maji wa nchi za Afrika (AMCOW) leo jijini Dar es slaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan (wa kulia) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Mabalozi wanaowakilisha nchi mbalimbali nchini Tanzania wakati mkutano wa kumi wa Baraza la Mawaziri wa Maji wa nchi za Afrika (AMCOW) leo jijini Dar es slaam.

(Picha na Eleuteri Mangi-MAELEZO) 

No comments: