Thursday, July 14, 2016

MAENDELEO YA UJENZI WA BARABARA YA SAKINA – TENGERU KILOMETA 14.1 NA ARUSHA BYPASS KILOMETA 42.4 MKOANI ARUSHA


Ujenzi wa Daraja No. 1 la Mto Nduruma ukiwa unaendelea
Wakandarasi kutoka kampuni ya Hanil Jiangsu Joint Venture Ltd wakiwa katika hatua ya kazi ya cement modification ( CM) eneo la Shangarai
Jiwe la Msingi la Multinational Arusha – Holili/ Taveta – Voi Road Project uliozinduliwa mnamo tarehe 3 Machi 2016. 
Eneo la Holili mpakani mwa Tanzania na Kenya itakapo pita ujenzi wa barabara ya Arusha - Holili/ Taveta – Voi yenye kilometa ( Picha na Aisha Malima TANROADS) .
Bango la TANROADS linalo onyesha inapoanza Barabara ya Sakina – Tengeru kilometa 14.1 na Arusha Bypass (Barabara ya mchepuo) yenye kilometa 42.4



Eneo linalo hifadhi mabomba ya TANROADS yatayotumika na mkandarasi wakati wa kubadilisha mabomba ya zamani na kuweka mapya yaliyopita katika miundombinu ya barabara ya Sakina – Tengeru km 14.1 na Arusha Bypass ya km 42.4 
Eneo la Sanawari sehemu yenye ujenzi wa box culvert No. 1
Eneo la Sekei sehemu yenye ujenzi wa box culvert No. 2

No comments: