Friday, July 22, 2016

MCHEKESHAJI ISMAIL MAKOMBE MAARUFU KWA JINA LA KUNDAMBANDA AFARIKI DUNIA

kundambanda modified
mapambeMsanii wa Vichekesho ISMAIL MAKOMBE maarufu kama KUNDAMBANDA ambae pia alikuwa mgombea ubunge jimbo la Masasi kupitia Chama cha wananchi CUF amefariki Dunia mapema hii Leo. 
Mungu ametoa na Mungu ametwaa. 
Tutakukumbuka Milele Daima.

No comments:

KAMISHNA WA UHIFADHI TANAPA AFANYA ZIARA YA KIKAZI KITUO CHA MALIKALE – MTWA MKWAWA, IHINGA, IRINGA

Kamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), CPA Musa Nassoro Kuji ,  amefanya ziara ya kikazi katika Kituo cha Malikale ch...