Friday, July 22, 2016

MCHEKESHAJI ISMAIL MAKOMBE MAARUFU KWA JINA LA KUNDAMBANDA AFARIKI DUNIA

kundambanda modified
mapambeMsanii wa Vichekesho ISMAIL MAKOMBE maarufu kama KUNDAMBANDA ambae pia alikuwa mgombea ubunge jimbo la Masasi kupitia Chama cha wananchi CUF amefariki Dunia mapema hii Leo. 
Mungu ametoa na Mungu ametwaa. 
Tutakukumbuka Milele Daima.

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...