Friday, July 22, 2016

MCHEKESHAJI ISMAIL MAKOMBE MAARUFU KWA JINA LA KUNDAMBANDA AFARIKI DUNIA

kundambanda modified
mapambeMsanii wa Vichekesho ISMAIL MAKOMBE maarufu kama KUNDAMBANDA ambae pia alikuwa mgombea ubunge jimbo la Masasi kupitia Chama cha wananchi CUF amefariki Dunia mapema hii Leo. 
Mungu ametoa na Mungu ametwaa. 
Tutakukumbuka Milele Daima.

No comments:

MAKAMU WA RAIS AONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA MISITU DUNIANIA NA KAMPENI YA UPANDAJI MITI KITAIFA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi ameelekeza uongozi wa Mikoa yote nchini kuhakikisha jitih...