Friday, July 22, 2016

TIGO YATOA MSAADA WA MADAWATI WILAYANI URAMBO


Mkuu wa wilaya ya Urambo Bi,Angelina Kwingwa akikata utepe ishara ya kupokea msaada wa madawati Miamoja kutoka kampuni ya Tigo kanda ya ziwa.


Mkuu wa wilaya ya Urambo Bi,Angelina Kwingwa Akitoa hotuba kwa wananchi wakati wa makabidhiano ya madawati wilayani hapo
Kamati ya Ulinzi na Usalama ya wilaya ya Urambo pamoja na Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Ziwa Bw.Ally Maswanya wakiwa wameketi katika madawati yaliyotolewa na Tigo kusaidia Shule za Msingi wilaya ya Urambo.
Mkuu wa wilaya ya Urambo Bi.Angelina Kwingwa na Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Ziwa wakiwa wameketi kwenye Madawati  pamoja na baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Msingi Ukombozi wilayani Urambo.

Baadhi ya Wanafunzi wa Shule ya Msingi Ukombozi
Kutoka kulia Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Ziwa Ally Maswanya akimkabidhi  dawati  moja kati ya Madawati  miambili  Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Nzega JACKOB  MTALITINYA,Kulia katikati ni Mbunge wa Jimbo la Bukene Suleiman Zedi.

Wanafunzi wa Shule ya Msingi Mwangoye

No comments: