Friday, July 22, 2016

MAWAZIRI WA MAJI AFRIKA WATEMBELEA CHANZO CHA MAJI CHA RUVU CHINI


Meneja wa Mtambo wa Ruvu Chini Mhandisi Emmanuel Makusa akiwaelezea baadhi ya Mawaziri wa Maji wa nchi za Afrika waliotembelea mtambo huo kujifunza namna Tanzania inavyojidhatiti kuwapatia maji wananchi wake. 
Baadhi ya Mawaziri wa Maji wa nchi za Afrika wakitembelea maeneo mbalimbali ya mtambo Ruvu Chini kujifunza namna Tanzania inavyojidhatiti kuwapatia maji wananchi wake.

No comments:

KAMISHNA WA UHIFADHI TANAPA AFANYA ZIARA YA KIKAZI KITUO CHA MALIKALE – MTWA MKWAWA, IHINGA, IRINGA

Kamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), CPA Musa Nassoro Kuji ,  amefanya ziara ya kikazi katika Kituo cha Malikale ch...