Friday, July 22, 2016

MAWAZIRI WA MAJI AFRIKA WATEMBELEA CHANZO CHA MAJI CHA RUVU CHINI


Meneja wa Mtambo wa Ruvu Chini Mhandisi Emmanuel Makusa akiwaelezea baadhi ya Mawaziri wa Maji wa nchi za Afrika waliotembelea mtambo huo kujifunza namna Tanzania inavyojidhatiti kuwapatia maji wananchi wake. 
Baadhi ya Mawaziri wa Maji wa nchi za Afrika wakitembelea maeneo mbalimbali ya mtambo Ruvu Chini kujifunza namna Tanzania inavyojidhatiti kuwapatia maji wananchi wake.

No comments:

RAIS SAMIA AENDELEZA DIPLOMASIA YA KIMATAIFA DUBAI, ALAKIWA NA MAZUNGUMZO NA MTAWALA WA DUBAI KANDO YA WGS 2026

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , ameendelea kuimarisha diplomasia ya kimataifa kwa kufanya m...