Wednesday, July 06, 2016

BANDA LA ALAF LAVUTIA WENGI KATIKA MAONESHO YA SABASABA 2016 JIJINI DAR ES SALAAM


Mfano wa nyumba iliyoezekwa kwa kutumia mabati ya Versatile yanayopatikana ALAF Tanzania ambapo imekuwa kivutio cha watu wengi katika maonesho ya Sabasaba2016 .
Wahudumu wakionesha mabati Versatile yanayopatikana ALAF Tanzania katika maonesho ya Sabasaba 2016 ambapo bei zake zikiwa na punguzo la asilimia tano katika maeneosho hayo 
Wananchi na baadhi ya wafanyakazi wa ALAF wakiwa katika banda lililoezekwa na mabati ya Versatile yanayopatikana ALAF Tanzania ambapo imekuwa kivutio cha watu wengi katika maonesho ya Sabasaba2016.

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...