Thursday, July 14, 2016

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AHUTUBIA MKUTANO KATIKA KIJIJI CHA NANGUMBU WILAYANI LUANGWA

JAL3 
Waziri Mkuu, Kassim Majliwa na  mkewe Mary wakisalimiana na wananchi wa kijiji cha Nangumbu wilayani Luangwa baada ya kuwasili kijijini hapo wakiwa katika ziara ya mkoa wa Lindi  Julai 14, 2016. Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Godfrey Zambi. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)JAL1 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe Mary wakiwapungia wananchi wa kijiji cha Nangumbu  wilayani Luangwa baada ya kuwasili kijijini hapo wakiwa katika ziara ya mkoa wa Lindi Julai  14, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
JAL2 
Mke wa Waziri Mkuu, Mama  Mary Majaliwa akizungumza na wananchi wa kijiji cha Nangumbu wilayani Luangwa ambako ameambatana na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa katika ziara ya mkoa wa Lindi, Julai 14, 2016.
index 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe Mary wakisalimiana na wananchi wa kijiji cha Nangumbu wilayani Luangwa  baada ya kuwasili kijijini hapo ili kuzungumza na wananchi wakiwa katika ziara ya mkoa wa Lindi Julai 14, 2016. Kulia ni Mkuu wa mkoa wa Lindi, Godfrey Zambi. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments: