Sunday, July 10, 2016

MAANDALIZI YA NANE NANE KITAIFA KANDA YA KUSINI YAANZA

Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mhe. Godfrey Zambi akitoa maelekezo kwa wajumbe wa Kikao cha Nanenane na Kamati ya Maandalizi wakati akifunga Kikao cha Wadau Kilichofanyika Banda La Naliendele,Viwanja vya Ngongo.
Wajumbe wa Kikao cha Wadau wa Nanenane wakiwa wanamsikiliza Mwenyekiti wa kikao ambaye Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mhe. Godfrey Zambi ( hayupo pichani).
Mhasibu wa Kamati ya Nanenane Kanda ya Kusini,Bw Mkulasi akiwasilisha taarifa ya mapato na matumizi kwa wajumbe wa kikao.
Moja ya barabara inayotengenezwa ili kuwekewa lami ndani ya eneo la uwanja.
Kazi ya utengenezaji wa barabara katika Viwanja vya Maonyesho ya Nanenane – NGONGO ikiwa inaendelea.

No comments:

UBUNIFU NA TEKNOLOJIA: MSINGI WA USIMAMIZI BORA WA MISITU NA NYUKI

  Na Mwandishi Wetu, Arusha Kamishna wa Uhifadhi kutoka Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), Prof. Dos Santos Silayo, amewataka Maafis...