Wednesday, March 09, 2016

MAKAMU WA RAIS ASHIRIKI TUKIO LA KIHISTORIA LA MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akitoa risala yake ya ufunguzi kwenye  Maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani jijini Dar es salaam jana jioni katika tukio lililoandaliwa na Kazi Services Ltd kwa kushirikiana na Chama cha Waajiri nchini (ATE) na kudhaminiwa na mdhamini Mkuu Shirika la Nyumba la Taifa (NHC).
Balozi Dk Asharose Mtengeti Migiro akitoa ushuhuda wake wa namna alivyoweza kufanikiwa katika maisha pamoja na vikwazo vingi kwenye mfumo dume,  kwenye  Maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani jijini Dar es salaam jana jioni katika tukio lililoandaliwa na Kazi Services Ltd kwa kushirikiana na Chama cha Waajiri nchini (ATE) na kudhaminiwa na mdhamini Mkuu Shirika la Nyumba la Taifa (NHC).

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwa katika picha ya pamoja na wadhamini wakuu wa tukio hilo la kihistoria kupata kutokea kwa kina mama Shirika la Nyumba la Taifa.
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Huduma kwa Jamii cha Shirika la Nyumba la Taifa, Susan Omari akisalimiana na washiriki wenzake kwenye  Maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani jijini Dar es salaam jana jioni katika tukio lililoandaliwa na Kazi Services Ltd kwa kushirikiana na Chama cha Waajiri nchini (ATE) na kudhaminiwa na mdhamini Mkuu Shirika la Nyumba la Taifa (NHC).
 Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Huduma kwa Jamii cha Shirika la Nyumba la Taifa, Susan Omari katika picha ya pamoja na washiriki wenzake kwenye  Maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani jijini Dar es salaam jana jioni katika tukio lililoandaliwa na Kazi Services Ltd kwa kushirikiana na Chama cha Waajiri nchini (ATE) na kudhaminiwa na mdhamini Mkuu Shirika la Nyumba la Taifa (NHC).
Washiriki kutoka Shirika la Nyumba la Taifa katika meza ya pamoja kwenye  Maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani jijini Dar es salaam jana jioni katika tukio lililoandaliwa na Kazi Services Ltd kwa kushirikiana na Chama cha Waajiri nchini (ATE) na kudhaminiwa na mdhamini Mkuu Shirika la Nyumba la Taifa (NHC).
 Washiriki kutoka Shirika la Nyumba la Taifa katika meza ya pamoja kwenye  Maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani jijini Dar es salaam jana jioni.
 Washiriki kutoka Shirika la Nyumba la Taifa katika meza ya pamoja kwenye  Maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani jijini Dar es salaam jana jioni.
 Washiriki kutoka Shirika la Nyumba la Taifa katika meza ya pamoja kwenye  Maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani jijini Dar es salaam jana jioni
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwasilia ukumbini na kusalimiana na kina mama.

 Washiriki kutoka Shirika la Nyumba la Taifa katika meza ya pamoja kwenye  Maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani jijini Dar es salaam jana jioni
Washiriki kina mama kutoka kada mbalimbali wakifuatilia jambo kwenye  Maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani jijini Dar es salaam jana jioni
 Washiriki kina mama kutoka kada mbalimbali wakifuatilia jambo kwenye  Maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani jijini Dar es salaam jana jioni
 Washiriki kutoka Shirika la Nyumba la Taifa katika meza ya pamoja kwenye  Maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani jijini Dar es salaam jana jioni
 Washiriki kutoka Shirika la Nyumba la Taifa katika meza ya pamoja kwenye  Maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani jijini Dar es salaam jana jioni
Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyakazi Shirika la Nyumba, Lilian Reuben akiwa na mmoja wa watoa mada kwenye  Maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani jijini Dar es salaam jana jioni.
Mkuu wa Kittengo Ukaguzi wa Ndani wa Shirika la Nyumba la Taifa, Fatuma Chillo akitoa neno la mdhamini mkuu wa Shughuli hiyo Shirika la Nyumba la Taifa ambapo aliwahimiza kina mama kujiimarisha kwa kumiliki nyumba kama uwekezaji wenye tija katika familia.
 Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Huduma kwa Jamii cha Shirika la Nyumba la Taifa, Susan Omari akipokea cheti cha utambuzi wa udhamini mkuu wa tukio hilo kubwa kabisa kupata kutokea nchini.
Mwakilishi kutoka NBC akipokea cheti cha utambuzi wa udhamini  wa tukio hilo kubwa kabisa kupata kutokea nchini.

  Washiriki kutoka Shirika la Nyumba la Taifa katika meza ya pamoja kwenye  Maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani jijini Dar es salaam jana jioni


No comments: