- Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar ZEC Jecha Salim Jecha amemtangaza Dk Ali Mohamed Shein kuwa
 
Uchaguzi wa Zanzibar ulifutwa  Oktoba 25 mwaka jana baada ya dosari mbalimbali kujitokeza ikiwemo aliyekuwa mgombea wa urais kupitia chama hicho Maalim Seif Sharif Hamad kujitangazia ushindi jambo lililopelekea  Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi ya Zanzibar ZEC Jecha Salim Jecha kutangaza kuufuta uchaguzi huo.
No comments:
Post a Comment