Monday, March 14, 2016

GSM FOUNDATION YAIPIGA JEKI TIMU YA TAIFA YA RIADHA ILIYOKO KAMBINI WEST KILIMANJARO

 Kocha wa timu ya taifa ya riadha Fracis John (kulia) akiwa na wanariadha wanaounda timu ya taifa ya riadha wakitizama msaada wa Track Suit ulitolewa na GSM Foundation kwa ajili ya wanariadha hao. 
 Rais wa Shirikisho la riadha Tanzania (RT) Anthony Mtaka akitizama msaada wa track suit zilizotolewa na kampuni ya GSM Foundation. 
 Rais wa Shirikisho la riadha Tanzania ,Anthony Mtaka akikabidhi msaada wa track Suit zilizotolewa na GSM Foundation . 

No comments: