Monday, March 14, 2016

RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE AKUTANA NA MABALOZI WA NCHI MBALI MBALI ZA AFRIKA LEO

Rais mstaafu wa Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete, akizungumza na Mabalozi mbalimbali wa Afrika wanaoziwakilisha nchi zao nchini, walipofika nyumbani kwake jijini Dar es Salaam leo kumpa mkono wa pole kutokana na kifo cha Kaka yake, Suleima Kikwete, kilichotokea hivi karibuni.
Rais mstaafu wa Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete (katikati), akifurahi jambo na Mabalozi mbalimbali wa Afrika wanaoziwakilisha nchi zao nchini, walipofika nyumbani kwake jijini Dar es Salaam leo kumpa mkono wa pole kutokana na kifo cha Kaka yake, Suleima Kikwete, kilichotokea hivi karibuni. (PICHA NA KASSIM MBAROUK). 

No comments:

Prof. Mfaransa Aja na Kitabu: Aiambia Dunia Kutalii Tanzania ni Tiba

Na Mwandishi Wetu Paris, Ufaransa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, akiwa nchini Ufaransa jana Julai 8, 2025 amek...