Wednesday, March 16, 2016

ZIARA YA WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA CHATO MKOA WA GEITA

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Bibi Jafari baada ya kuwahutubia wananchi
wa kata ya Kasulo wilayani Ngara Machi 16, 2016. Alikuwa katika siku ya mwisho ya zira ya mkoa wa Kagera.
 Wananchi wa Kalebezo wilayani Chato  wakionyesha mabango wakati Waziri Mkuu,
Kassim Majaliwa alipopita kijijini kwao  akitoka Ngara kuelekea Chato mkoani Geita machi  16, 2016.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na Mbunge wa Busanda, Lolesia Bukwimba baada
ya kuwasili kwenye   Ofisi ya Mkurugenzi  wa Wilaya ya Chato kuanza ziara ya  Mkoa wa geita Machi 16, 2016. 
 
Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

No comments: