Monday, March 14, 2016

WARSHA YA USIMAMIZI WA VIHATARISHI NA UDHIBITI WA NDANI KWA AJILI YA MAKATIBU WAKUU NA MANAIBU MAKATIBU WAKUU

 Makatibu Wakuu kutoka Wizara tofauti wakihudhuria mafunzo ya ‘Warsha ya Usimamizi wa Vihatarishi na Udhibiti wa Ndani’ (Risk Management and Internal Control Systems Workshop) yaliyoandaliwa kwa ajili ya Makatibu Wakuu na Manaibu Katibu Wakuu na Taasisi ya UONGOZI tarehe 8 mpaka 9 Machi 2016 Dar Es Salaam.
   Mwezeshaji akiongoza kipindi cha maswali na majibu kwa Makatibu Wakuu baada ya kuwasilisha mada yake.
Baadhi ya Makatibu Wakuu wakishiriki kwenye mijadala ya mafunzo hayo kwa kusikiliza kutoka kwa Wawezeshaji tofauti.

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...