Thursday, March 31, 2016

“KAMATI YA BUNGE YA ARDHI, MALIASILI NA UTALII WAMTAKA WAZIRI LUKUVI KUFUTA HATI MILIKI YA ECO ENERGY”


 Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii,Injinia Ramo Makani kulia akiteta
jambo na Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili,Ardhi na Utalii,Meja Jenerali
Gaudance Milanzi katikati kushoto ni Kaimu Mkurugenzi wa wa Shirika la
Hifadhi za Taifa(TANAPA),Ibrahim Mussa wakati wa ziara ya siku moja ya
kamati ya Bunge Maliasili,Ardhi na Utalii kwenye hifadhi ya Taifa ya
Saadani,
Wajumbe wa Kamati ya Bunge,Maliasili,Ardhi na Utalii wakiingia kwenye hifadhi ya
Taifa ya Saadani jana

 Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge,Maliasili,Ardhi na Utalii Atashasta
Justus Nditiye akitoa maazimio ya kamati hiyo mara baada ya kuitembelea
hifadhi ya Taifa ya Sadani wa kwanza kushoto ni Mjumbe wa kamati
hiyo,Marry Chatanda ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Korogwe mjini.
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii,Injia Ramo Makani akizungumza wakati wa ziara hiyo

Kaimu Mkurugenzi wa (TANAPA),Ibrahim Mussa akizungumza wakati za ziara ya kamati ya Bunge
Maliasili,Utalii na Ardhi Mazingira ilipotembelea hifadhi ya Taifa ya
Saadani.

Katibu Mkuu wa
Wizara ya Maliasili na Utalii,Meja Jenerali Meja Jenerali Gaudance
Milanzi akizungumza wakati za ziara ya siku moja ya Kamati ya Bunge ya
Maliasili,Utalii na Ardhi

 Kaimu Mkurugenzi wa Uhifadhi wa Tanapa,Mtango Mtaniko akizungumza
wakati wa ziara ya kamati ya Bunge Maliasili,Utalii na Ardhi walipofanya
ziara ya kutembelea hifadhi ya Taifa ya Saadani
Mjumbe wa Kamati ya Bunge Maliasili,Utalii,Ardhi na Mazingira,Pauline Gekule
akiulizwa swali wakati ziara hiyo

MJUMBE wa Kamati ya Bunge,Maliasili,Ardhi na Utalii,Shabani Shekilindi ambaye pia ni
Mbunge wa Jimbo la Lushoto mkoani Tanga akiuliza swali wakati wa ziara hiyo

Mbunge wa Jimbo la Korogwe Mjini,Marry Chatanda ambaye pia  ni mjumbe wa kamati
hiyo akichangia hoja kwenye ziara hiyo

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii,Meja Jenerali Gaudance Milanzi kulia akiteta jambo na Meneja wa Mawasiliano wa Tanapa,Pascal Shelutete wakati kamati ya Bunge Maliasili,Ardhi na Utaliiwalipotembelea hifadhi ya Taifa ya Saadani
Picha kwa Hisani ya Tanga Raha Blog

No comments: