Monday, March 21, 2016

MSAFARA WA WAZIRI SULEIMAN JAFO WAPATA AJALI BAGAMOYO

aj1
Msafara wa Mheshimiwa Naibu Waziri wa TAMISEMI JAFFO umepata Ajali mbaya Na Watu kadhaa wapoteza Maisha
Naibu waziri TAMISEMI Mh Selemani Jafo Amepata Ajali ktk Msafara wake huko Mapinga Magamoyo Baada ya Roli kugonga Magari Matatu yakiyokuwa mbele yake ktk Msafara Wake!
Na Waliofariki ni Maafisa toka Halmashauri ya Bagamoyo! watu kadhaa  wamefariki papo hapo na Majeruhi kadhaa  ambao Wamekimbizwa Hospitali kwa Sasa!
Naibu waziri Yeye yuko Salama na Ndio anashughulikia Kufanya uokozi katika eneo la ajali  na kukwamua baadhi ya majeruhi hao
Chanzo cha Ajali hii ni Uzembe wa Dereva wa Gari Dogo na Mtu wa Roli Kubwa Kuover Take ktk Mlima na Msafara ukiwa Unakuja Mbele licha yakuwa Tayali Mbele Gari ya Asali kuashiria Msafara unakuja lakini Madereva hawa Walitoka kuwahi na kusababisha Ajali ambayo imepoteza Uhai wa watu, Kuumiza watu nakuharibu Mali za Serikali
aj2aj3aj4

No comments: