Wednesday, March 23, 2016

WAZIRI LUKUVI ATEMBELEA SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA

 Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi akizungumza na waandishi wa habari kwenye makao makuu ya Shirika la Nyumba la Taifa ambapo pamoja na mambo mengine ameagiza mambo makuu manne yakiwamo kutopandisha kodi ya nyumba za Shirika bila idhini yake, kutoendelea na miradi mikubwa ya biashara mpaka ile iliyoanza ikamilike, kutotekeleza muundo mpya wa Menejimenti na kuagiza kujenga nyumba 50,000 za gharama nafuu.


  Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi akizungumza na waandishi wa habari kwenye makao makuu ya Shirika la Nyumba la Taifa ambapo pamoja na mambo mengine ameagiza mambo makuu manne yakiwamo kutopandisha kodi ya nyumba za Shirika bila idhini yake, kutoendelea na miradi mikubwa ya biashara mpaka ile iliyoanza ikamilike, kutotekeleza muundo mpya wa Menejimenti na kuagiza kujenga nyumba 50,000 za gharama nafuu.

No comments:

RAIS SAMlA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA RAIS TSHISEKEDI

  Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...