Thursday, March 03, 2016

MAJALIWA AHUTUBIA MKUTANO WA HADHARA KIJIJI CHA LAMADI – BUSEGA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwapungia wananchi wa Lamadi wilayani Busega  kabla ya kuhutubia mkutano wa hadhara wenye uwanja wa michezo Machi 2, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
seg2
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwapungia wananchi wa Lamadi wilayani Busega  kabla ya kuhutubia mkutano wa hadhara wenye uwanja wa michezo Machi 2, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
seg3
Mbunge wa Busega Dkt Raphael Chegeni (kushoto) na Mbunge wa zamni wa jimbo hilo, Dkt Titus Kamani ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa Simiyu wametangaza rasmi kuzika tofauti zao na kushirikiana  kuleta maendeleo kwenye jimbo hilo. Pichani  viongozi hao wakiwadhihirishia wananchi kuwa hawana chukui wala ugomvi tena na kuwa uchaguzi umekwisha katika mkutano wa hadhara uliohutubiwa na Waziri Mkuu, Kasim Majaliwa kwenye kijiji cha Lamadi wilayni Busega Machi 2, 2016.  (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
seg4
Mbunge wa Busega Dkt Raphael Chegeni (kushoto) na Mbunge wa zamni wa jimbo hilo, Dkt Titus Kamani ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa Simiyu wametangaa rasmi kuzika tofauti zao na kushirikiana  kuleta maendeleo kwenye jimbo hilo. Pichani  viongozi hao wakiwadhihirishia wananchi kuwa hawana chukui wala ugomvi tena na kuwa uchaguzi umekwisha katika mkutano wa hadhara uliohutubiwa na Waziri Mkuu, Kasim Majaliwa kwenye kijiji cha Lamadi wilayni Busega Machi 2, 2016.  (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
seg5
Waziri Mkuu, Kasim Majliwa akionyesha usinga na mkuki  ambavyo alipewa na wazee wa Kisukuma wa Busega katika mkutano wa hadhara katika kijiji cha Lamadi Machi 2, 2016. Wazee hao pia walimbatiza jina la Massanja. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
seg7seg8
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akihutubia mkutanowa hadhara katik kijiji cha Lamadi wilayani Busega Machi 2, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments: